Jumatano, 28 Mei 2014

Usiku wa bunyero ndani ya maisha club

Utakua mpambano mkali kati ya kibao kata na kikundi cha bunyero kanga moko ndani ya maisha club tarehe 28-05-2014
Kiingilio 10000

NEW MAISHA CLUB AND FAMONGA MOROGORO PRESENT USIKU WA RAHA

June 1-2014 new maisha club inakuletea usiku wa raha morogoro show ikipambwa na wakali wa bongo flava akiwemo
TUNDAMAN
BECKA TITTLE
SHEBBY LOVE
Y-TONE
kwa kiingilio cha Tshs.7000/=

Wahi mapemaa
NEW MAISHA CLUB M6ROGORO

Ni mwaka mmoja tangu Rapper Albert Mangwear afariki dunia