Jumanne, 25 Machi 2014

I'm currently following Real Sociedad vs Almería [via @SuperSportTV]

Jumamosi, 22 Machi 2014

Snura aeleza kuwa kuusu kukutwa kwa mganga sio habari za kweli

Akiongea na paparazi wetu wa mgambilwa ""mimi nilikua nashoot movie nashangaa wanasema kua nilikua naroga ila sio kweli wanataka kunichafulia jina tu hao wala sio kweli

Jumatano, 12 Machi 2014

Download salamu zao nay wamitego

https://www.youtube.com/watch?v=bl6AqNkF9tg&feature=youtube_gdata_player

Download wakubwa wa jiji-Muda

https://www.youtube.com/watch?v=ah74W2Ztv3Q&feature=youtube_gdata_player

Club 71 kibo complex Tegeta Present

Jumapili hii ya tarehe 16-03-2014 atakuwepo msanii anaetamba na kibao cha masebene si mwingine bali ni Y-TONY mzee wa masebene atakinukisha pande hizo bila kumsahau malkia wa nyonga tanzania ambae ni hit maker wa ushaharibu atakuwepo kuanzia saa tatu usiku mpaka majogoo suprise za nguvu zitakuwepo wahi bila kuchelewaaaa

Jumanne, 11 Machi 2014

Doenload K.K.K ya roma

Siku ya jumatatu msanii roma aliamua kuachia ngoma yakr ya karibu kwenye karam au kkk download hapa www.hulkshare/romakkk.com

Facebook yaamua kumnunua whatsapp

Ndo basi tena ushaharibu

Baada ya kuzinduliwa rasmi ngoma ya ushaharibu ya hit maker wa nimevurugwa snura mushi sasa mpaka kwenye magari ni kuharibu mpaka kinaeleweka hautaki unaandamana

Msambinungwa yuleeeeeeeee

Hit maker wa ngoma ya msambinungwa khalid ramadhan (Tundaman) achia video yake na kukubalika viluvyo. ☆☆☆☆

New Nokia X

Ni ingizovjipya toka kampuni ya watengenezaji wa simu aina ya nokia ni simu yenye uwezo mkumbwa saaana ina android ya 4.6 na BBM inasapport kila apps zote unazozijua kazi kwenu

Snura afunika Arusha

Mwanamuziki anaeendelea kufanya vizuri kwenye game
Ya muziki mwanadada huyo aitwae snura juzi aliamua kuwapagawishwa wakazi wa arusha na kuwaharibu bila BBC kuvuruga

Yesu aonekana maeneo ya sinza jana