Jumatatu, 14 Julai 2014

Wawili wahofiwa kupoteza maisha

WATU WAWILI WAHOFIWA KUPOTEZA MAISHA BAADA KUFUNIKWA NA KIFUSI MKOANI KILIMANJARO by GLOBAL 13 minutes ago WATU zaidi ya wawili wanadhaniwa kupoteza maisha baada ya kufunikwa na kifusi wakati wakiendelea na shughuli za uchimbaji wa miamba kwa ajili ya uchongaji wa matofali. Tayari mpaka sasa mwili wa mtu mmoja aliyefahamika kwa jina Bless Adrian, mkazi wa kijiji cha Nganjoni wilaya ya Moshi vijijini mkoani Kilimanjaro umepatikana. Juhudi za kutafuta miili mingine inaendelea licha ya kukabiliwa na changamoto ya zana za kufukulia kifusi.

Ujerumani ndo bingwa wa mwaka huu

Ujerumani wanakuwa timu ya kwanza ya kutoka bara Ulaya kutwaa kombe la dunia katika mchuano ulioandaliwa Kusini mwa Marekani. Ujerumani ilihitaji bao la muda wa ziada la Mario Gotze kuinyamazisha Argentina katika mechi hiyo iliyochezwa katika uwanja wa Maracana. Kufuatia ushindi huo Ujerumani walinyakua taji la nne la dunia. Kipa wa Ujerumani Manuel Nuer alitawazwa kuwa kipa bora na akatuzwa "Golden Glove". Japokuwa alishindwa kutwaa ubingwa wa dunia Lionel messi alitawazwa kuwa Mshindi wa tuzo ya "Golden Ball" akiwa ni mchezaji bora. Michuano ijayo ya kombe la dunia itaandaliwa nchini Urusi mwaka wa 2018.

Jumatano, 28 Mei 2014

Usiku wa bunyero ndani ya maisha club

Utakua mpambano mkali kati ya kibao kata na kikundi cha bunyero kanga moko ndani ya maisha club tarehe 28-05-2014
Kiingilio 10000

NEW MAISHA CLUB AND FAMONGA MOROGORO PRESENT USIKU WA RAHA

June 1-2014 new maisha club inakuletea usiku wa raha morogoro show ikipambwa na wakali wa bongo flava akiwemo
TUNDAMAN
BECKA TITTLE
SHEBBY LOVE
Y-TONE
kwa kiingilio cha Tshs.7000/=

Wahi mapemaa
NEW MAISHA CLUB M6ROGORO

Ni mwaka mmoja tangu Rapper Albert Mangwear afariki dunia

Jumanne, 25 Machi 2014

I'm currently following Real Sociedad vs Almería [via @SuperSportTV]

Jumamosi, 22 Machi 2014

Snura aeleza kuwa kuusu kukutwa kwa mganga sio habari za kweli

Akiongea na paparazi wetu wa mgambilwa ""mimi nilikua nashoot movie nashangaa wanasema kua nilikua naroga ila sio kweli wanataka kunichafulia jina tu hao wala sio kweli

Jumatano, 12 Machi 2014

Download salamu zao nay wamitego

https://www.youtube.com/watch?v=bl6AqNkF9tg&feature=youtube_gdata_player

Download wakubwa wa jiji-Muda

https://www.youtube.com/watch?v=ah74W2Ztv3Q&feature=youtube_gdata_player

Club 71 kibo complex Tegeta Present

Jumapili hii ya tarehe 16-03-2014 atakuwepo msanii anaetamba na kibao cha masebene si mwingine bali ni Y-TONY mzee wa masebene atakinukisha pande hizo bila kumsahau malkia wa nyonga tanzania ambae ni hit maker wa ushaharibu atakuwepo kuanzia saa tatu usiku mpaka majogoo suprise za nguvu zitakuwepo wahi bila kuchelewaaaa

Jumanne, 11 Machi 2014

Doenload K.K.K ya roma

Siku ya jumatatu msanii roma aliamua kuachia ngoma yakr ya karibu kwenye karam au kkk download hapa www.hulkshare/romakkk.com

Facebook yaamua kumnunua whatsapp

Ndo basi tena ushaharibu

Baada ya kuzinduliwa rasmi ngoma ya ushaharibu ya hit maker wa nimevurugwa snura mushi sasa mpaka kwenye magari ni kuharibu mpaka kinaeleweka hautaki unaandamana

Msambinungwa yuleeeeeeeee

Hit maker wa ngoma ya msambinungwa khalid ramadhan (Tundaman) achia video yake na kukubalika viluvyo. ☆☆☆☆

New Nokia X

Ni ingizovjipya toka kampuni ya watengenezaji wa simu aina ya nokia ni simu yenye uwezo mkumbwa saaana ina android ya 4.6 na BBM inasapport kila apps zote unazozijua kazi kwenu

Snura afunika Arusha

Mwanamuziki anaeendelea kufanya vizuri kwenye game
Ya muziki mwanadada huyo aitwae snura juzi aliamua kuwapagawishwa wakazi wa arusha na kuwaharibu bila BBC kuvuruga

Yesu aonekana maeneo ya sinza jana